by Edward Alex | May 22, 2025 | Uncategorized @sw-tz
Huduma za Azampesa Sasa Zinapatikana Kwenye Migodi ya AzamTV iliyo Karibu Nawe! Sasa ni rahisi zaidi kupata huduma za Azampesa! Tembelea Mgodi wa AzamTV Dar es Salaam upate huduma zote muhimu kwa urahisi na haraka. Ndani ya mgodi, utapata huduma zifuatazo: Usajili wa...
by Edward Alex | Apr 28, 2025 | Uncategorized @sw-tz
AzamPesa ni huduma ya kifedha inayokuwezesha kufanya miamala kwa gharama nafuu zaidi, ukiwa kama mfanyabiashara unahitaji Lipa namba ya Azampesa kwenye biashara yako kukusaidia mambo haya muhimu kwa gharama nafuu zaidi ambayo haiumizi mtaji wako. Gharama Nafuu za...
by Edward Alex | Feb 13, 2025 | Uncategorized @sw-tz
Ndugu mteja wetu, tunafurahi kuwa wewe ni sehemu ya familia ya Azampesa, na tunashukuru kwa kuendelea kufurahia huduma zetu za nafuu na bora. Ili kuhakikisha unapata msaada wa haraka na huduma za ziada, hizi hapa njia mbalimbali rahisi za kuwasiliana nasi. Njia za...
by Edward Alex | Feb 13, 2025 | Huduma, Kampeni, Mengineyo, Ona Zote, Uncategorized @sw-tz
Unaweza kuokoa pesa ukitumia Azampesa Ikiwa wewe ni mtumiaji wa kawaida na unafanya miamala ya kutuma pesa na unatuma kati ya shilingi 10,000 hadi 20,000 kwa siku, basi unajua makato yake kila unapofanya miamala ni makubwa. Kwa mfano, ukiweza kutuma pesa mara mbili...
by Edward Alex | Feb 13, 2025 | Uncategorized @sw-tz
FLOTI ZA MAWAKALA WA AZAMPESA Azampesa inaendelea kuboresha huduma kwa mawakala. Azampesa inaendelea kuboresha huduma zake kwa mawakala wake walioko kote nchini. Kama wewe ni wakala, sasa unaweza kufika kwenye vituo mbalimbali vya huduma kupata huduma ya floti, ambayo...