by Edward Alex | Feb 13, 2025 | Huduma, Kampeni, Mengineyo, Ona Zote, Uncategorized
Unaweza kuokoa pesa ukitumia Azampesa Ikiwa wewe ni mtumiaji wa kawaida na unafanya miamala ya kutuma pesa na unatuma kati ya shilingi 10,000 hadi 20,000 kwa siku, basi unajua makato yake kila unapofanya miamala ni makubwa. Kwa mfano, ukiweza kutuma pesa mara mbili...
by Meki Kilalile | Nov 16, 2024 | Huduma
AzamPesa inaleta mapinduzi katika ulimwengu wa huduma za kifedha kwa kutoa unafuu wa gharama, usalama wa hali ya juu, na urahisi wa kufanya miamala. Hizi hapa ni faida na huduma unazoweza kufurahia unapojisajili na kutumia AzamPesa. 1. Faida za Kutumia AzamPesa...
by Meki Kilalile | Nov 13, 2024 | Huduma
Urahisi wa kutuma pesa kupitia mitandao mbalimbali ya simu ni muhimu sana. AzamPesa inafanya mchakato huu kuwa rahisi, salama, na haraka. Jinsi ya Kutuma Pesa Kutoka AzamPesa Kwenda TigoPesa / EzyPesa Kwa kutumia App ya AzamPesa: Fungua App yako ya AzamPesa. Chagua...
by Meki Kilalile | Oct 6, 2024 | Huduma, Kampeni, Mengineyo, Ona Zote
AzamPesa ni Nini? AzamPesa ni huduma ya pesa kwa njia ya simu inayokuwezesha kufanya kufanya miamala kwa gharama nafuu. Hii inajumuisha kutuma na kupokea pesa, kununua vocha za muda wa maongezi, malipo ya wafanyabiashara, kulipa bili kama vile umeme na maji, malipo ya...